Mlimani City Dar es Salaam Septemba 10. Pichani juu:Mshiriki wa Vodacom Miss Tanzania, Alexia William akimsikiliza Afisa Mauzo wa kampuni ya kuuza magari ya CFO Motors, Magdalena Mpeku, akimpa maelezo namna ya kuendesha gari la aina ya Jeep Patroit lenye thamani ya Tsh milion 72 ambaloVodacom Miss Tanzania 2011 atazawadiwa.
Baadhi ya magari yaliyotumiwa kuwafundisha walimbwende wa Vodacom Miss Tanzania katika Ufukwe za Coco Beach.
No comments:
Post a Comment